Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Nikki wa Pili awakingia kifua wafugaji

Jumatano , 11th Jan , 2017

Ikiwa bado migogoro kati ya wakulima na wafugaji inaendelea kushamili nchini msanii wa muziki wa hip hop Nikki wa Pili kutoka Weusi amefunguka na kuweka wazi sababu za migogoro hiyo kushamiri pamoja na kushauri jambo la kufanyika.

Nikki wa Pili

Amesema kuwa mara nyingi wafugaji jamii ya wamasai ambao wanapigana na wakulima katika maeneo mbalimbali nchini ni kutokana na athari za wafugaji hao kuporwa ardhi katika maeneo ya Longido, Serengeti na maeneo mengine.

Nikki wa Pili anadai kutokana na kitendo cha majaji na viongozi mbalimbali kuhodhi maeneo makubwa ya ardhi Morogoro ndiyo kunapelekea vita kubwa kati ya wakulima na wafugaji mkoani humo.

"Wafugaji (wamasai) wanaopigana na wakulima ni waathirika wa kuporwa ardhi, Longido, Serengeti na maeneo mengine, majaji, wanasiasa, wawekezaji wamehodhi ma hekari ya ardhi Morogoro na kuacha vita baina ya wakulima na wafugaji. Wakulima wadogo ni wahanga wa uhodhi wa ardhi wa makampuni ya nje, na wazawa matajiri, majaji, viongozi...ambao wana miliki ma elfu ya hekta za ardhi Morogoro ingawa wengi wanaishi Dar es Salaam" aliandika Nikki wa Pili 

Kutokana na kitendo cha viongozi na watu wenye pesa kuchukua maeneo makubwa makubwa na kuwaacha wanyonge wakiwa na vieneo vidogo ndiyo chanzo cha migogoro hiyo kwa mujibu wa Nikki wa Pili 

"Ardhi imebaki finyu kwa wakulima wadogo na wafugaji, kibaya wanapigana wao na kumuacha adui yao ambao ni waporaji ardhi wa nje na wazawa...chini ya sera za kisasa za kufanya ardhi kuwa bidhaa, haya ni mawazo tu" alisisitiza Nikki wa Pili 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava