Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mzee Yusuph ahitaji dua

Jumatatu , 19th Jun , 2017

Alhaji Mzee Yusuph, amefunguka kwamba wananchi wamuombee dua ili aweze kupata moyo wa uvumilivu katika kipindi hiki alichofiwa  mke wake  Chiku Khamisi pamoja na mtoto wake mchanga  badala ya kuanza kuongea maneno ya unafiki yasiyokuwa na faida.

Alhaji Mzee Yusuph

Alhaji amefunguka hayo mara baada ya kuwapumzisha vipenzi vyake hivyo makaburini na kusema kwamba badala ya watu kuanza kuzungumza maneno ya unafiki, watumie muda huo kutafakari matendo yao duniani, ikiwa ni pamoja na kuwaombea dua waliotangulia pamoja na yeye aendelee kuwa jasiri.

"Niombeeni dua niwe na moyo wa subira, huu ni mtihani mkubwa sana ulionitokea. Muombeeni mke wangu pia aliyetangualia. Namshukuru Mungu mtihani umekuja kipindi ambacho nmemrudi kwaake laiti kama ningekuwa badio na mambno ya dunia sijui hata leo kingezungumzwa kitu gani" , alisema Mzee Yusuph.

Aidha Mzee Yusuph amekiri kwamba ameshakumbana na mitihani mingi tangu abadilishe muenendo wa maisha yake lakini kuhusu suala la kuondokewa na mke pamoja na mtoto mchanga ni pigo kubwa ambalo mpaka sasa haamini.

Mitihani mingi niliyoipitia haijanishtua lakini huu wa sasa mpaka sasa siamini nahisi kama bado naota, niombeeni nipate ujasiri nifaulu maana nikifeli katika hili nitakuwa sina tena dini" , Mzee Yusuph alisisitiza.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava