Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Mzee Matata amenikabidhi familia yake" - Sumaku

Alhamisi , 17th Jun , 2021

Muigizaji wa tamthilia ya vichekesho ya Mizengwe Mzee Sumaku amefunguka kusema Marehemu Mzee Matata alifahamu kifo chake kwani kabla ya umauti alimkabidhi mke na watoto wake wanne.

Kutoka kulia ni Safina, kati ni Mzee Matata kulia ni Mkwere

Mzee Sumaku anasema kauli hiyo aliambiwa Hospitali akiwa na Mke wa Mzee Matata na ilimuuma sana kwani alishajua anaashiria nini na alikuwa anaona hawezi kupona. 

"Matata na mimi ni zaidi ya ndugu, mara ya mwisho tulikuwa Temeke Hospitali alipozidiwa aliinita mbele ya Mkewe, akaniambia nikifa familia yangu nakuachia wewe naomba unilelee wanangu kile kitu kiliniuma sana, nilijaribu kumpa nguvu ila nilishajua anaashiria nini tayari alioona haponi" amesema Mzee Sumaku 

Mzee Matata alikuwa ana jumla ya watoto wanne na mke mmoja pia hana muda mrefu kwenye maisha yake ya ndoa.

Mazishi yaMzee Matata yanafanyika leo saa 7:00 Mchana kwenye Makaburi ya Buguruni Malapa jijini Dar es Salaam.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava