
Picha ya Mwasiti, Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni Sanaa na Michezo Gerson Msigwa na Katibu wa BASATA Kedmon Mapana wakizindua Kipepeo Mweusi.
Mgeni rasmi wa tukio hilo la Mwasiti kuzindua Kipepeo Mweusi ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamuduni Sanaa na Michezo Gerson Msigwa Katibu Mtendaji wa BASATA Dkt Kedmon Mapana.