Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Mwana Fa na Babu tale wasitutie aibu" - Dullah

Ijumaa , 1st Jan , 2021

Rais wa BongoFleva Dullah Planet amewaomba Wabunge ambao wametoka kwenye kiwanda cha muziki wa BongoFleva mpaka mjengoni Dodoma, Mwana Fa na Babu Tale kwamba wasitie aibu kwenye shughuli zao za kuwatetea wananchi na sanaa kwa ujumla.

Kulia ni Mwana Fa Mbunge wa Muheza Tanga, kushoto ni Babu Tale Mbunge wa Kusini Mashariki Morogoro

Akiwazungumzia baada ya kupata Ubunge kwenye Uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 28, 2020 ambapo Mwana Fa amekuwa Mbunge wa Muheza Tanga, na Babu Tale ni Mbunge wa Kusini Mashariki Morogoro, mtangazaji Dullah Planet amesema 

"Ni ushindi kwenye tasnia yetu ya muziki na sanaa kwa ujumla kwa sababu ilikuwa inaonekana sehemu ya kihuni na miyayusho lakini tumeweza kutoa nafasi ya kutoa watu kuwakilisha Bungeni"

 "Ni heshima kubwa hongera kwao natumaini wataenda kutekeleza waliyoyaahidi na wananchi wapo tayari kuwaona wakifanya kazi kazi, na sisi tunawaambia wasitutie aibu kwa wananchi  kwa sababu wanatoka kwenye upande ambao sisi tupo, tunawategemea kwenye makubwa" ameongeza Dullah Planet

Zaidi tazama hapa chini kwenye video

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava