Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mrisho Mpoto alia na wanasiasa

Alhamisi , 23rd Mar , 2017

Msanii Mrisho Mpoto amewaomba wanasiasa waachie ‘gap’ kidogo ili wasanii nao waweze kupata muda wa kutambulisha kazi zao za sanaa kwa jamii ambayo sasa imetekwa na upepo wa siasa.

Mrisho Mpoto

Hayo yameibuka kutokana na matukio makubwa ya kisiasa kila kukicha na baadhi ya wasanii wakiongozwa na Mpoto kuandika katika mitandao ya kijamii kuwataka wanasiasa wajaribu kidogo kupunguza kasi yao ili nao waweze kusikika.

“Mtu amewekeza hela nyingi na anajaribu, anakuta hakuna ‘gap’ kwenye soko kwa sababu macho, mawazo yote ya watu yamehamia katika siasa.  Kwa hiyo nikasema hii ni hatari kwasababu unaweza sema labda kesho, keshokutwa patatulia, mtondo, mtondogo patatulia, unaichukulia kama mzaha vile lakini sasa unaona kila kukicha kuna ‘breaking news’ kwa hiyo nikasema hapana tafadhari kidogo watupe ‘gap’ kidogo ili watu waweze kufanya ‘promotion’ za nyimbo zao”. Alisema Mrisho

Aidha msanii huyo amesema siyo kweli kwamba wanasiasa hawaelewi chochote wanachowafanya wasanii na watu wengine wanaotegemea upepo wa ‘promo’ katika kufanya na kutangaza kazi zao.

“Wanasiasa wenyewe wanajua leo tukiamshe kipi siyo kwamba hawajui wana-strategy kabisa kesho tuamshe hiki keshokutwa tuamshe kile”. Alisisitiza Mpoto

Vile vile Mjomba amesema kwa sababu wanamsikia anawaomba kidogo ‘slow down’ ili vijana wao waweze ku-boost kazi zao kwa sababu ‘investment’ kubwa wameweka katika hizo shughuli, muda pamoja na fedha.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava