Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Mimi ni mrembo, natongozwa kila siku" - Elizabeth

Jumanne , 20th Aug , 2019

Miss Tanzania 2018/2019 Queen Elizabeth Makune afunguka ishu za kushirikiana na wasanii wa Bongo Movie kuzindua kampeni ya kutalii,urembo na utofauti wa maisha aliyonayo kwa sasa.

Miss Tanzania 2018/2019 Queen Elizabeth Makune

Queen Elizabeth Makune amefunguka hayo kupitia EATV & EA Radio Digital, wakati wa uzinduzi wa kampeni ya 'Twenzetu Kutalii' ambapo amesema nia ya kampeni hiyo ni kuhamasisha watanzania wawe na utamaduni wa kutembelea vivutio vya utalii na risilimali zake.

"Tanzania ina vivutio vingi duniani inashika nafasi ya pili kwa ubora zaidi lakini pamoja na wingi wote huo wa vivutio na uzuri ila idadi ya watembeleaji ni wachache" amesema Queen Elizabeth.

Aidha Miss huyo amezungumzia suala la watu wengi kupenda kumtongoza ambapo amesema,

"Mimi ni mrembo na Miss Tanzania yaani nchi yote hii mimi ndio namba moja, kwa siku natongozwa mara nyingi sana na watu wa aina zote, kutongozwa ni sehemu ya mwanamke katika maisha ya kawaida na usipotongozwa itabidi ukafanyiwe maombi kanisani".

Pia ameendelea kusema yeye hana mahusiano na kigogo wowote wa serikali ila watu ndio wanasema hivyo na wala hana jibu sahihi juu ya suala hilo.
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava