Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Makundi mengine 5 yafuzu #2014Dance100

Jumamosi , 26th Jul , 2014

Usahili wa pili wa Dance 100% 2014 umekamilika kwa mafanikio makubwa katika viwanja vya Don Bosco Oysterbay ambapo makundi 18 yameweza kujitokeza kushiriki.

Makundi yaliyofanikiwa kuingia hatua ya Robo Fainali leo Don Bosco Oysterbay wakitangazwa

Makundi haya ambayo yameonesha uwezo mkubwa kabisa mbele ya majaji Super Nyamwela, Lotus na Queen Darleen ni pamoja na The Mob, Inter Crew, The New Team, The Killer Makoba, Pambana Fasaha, The Warriors, Bustani, UB 40, Take Over Crew, Tatanisha Dancers, Wakali Sisi, Wakali Dancers, Wakali Dancehall, Wakushine, Fantastic Crew na Quality Boys.

Makundi yaliyofanikiwa kuingia katika ya robo fainali kutoka michuano hii ni pamoja na Wakali Sisi, Pambana Fasaha, Quality Boys, Bustani na Tatanisha Dancers.

Michuano hii imepambwa na burudani mbalimbali ikiwepo kundi la waendesha Baiskeli lililo chini ya Grand Malt ambao ni kinywaji rasmi cha mashindano haya kwa mwaka huu wakiwa sambamba na wadhamini Vodacom Tanzania, Kazi ni kwako.

Usaili mwingine utafanyika kwa mara ya mwisho mwishoni mwa wiki ijayo katika viwanja vya TCC Club Chang'ombe kutafuta makundi mengine matano yatakayoungana na idadi ya makundi 10 ambayo tayari yamekwishafuzu kuingia katika mashindano kwa sasa.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava