Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kenny afunguka kuhusu Alikiba na Harmonize

Jumatatu , 26th Oct , 2020

Muongozaji wa video hapa nchini Director Kenny amesema hana noma na msanii Alikiba na Harmonize kwenye suala zima la kutaka kufanya nao kazi japo stori zinadai sehemu anayofanyia kazi 'production' inambana asifanye kazi na wasanii hao.

Director Kenny katikati, msanii Alikiba kwenye picha ndogo kulia na Harmonize kwenye picha ndogo kushoto

Akizungumza kwenye show ya Planet Bongo ya East Africa Radio Director Kenny ameeleza kuwa kikubwa ni makubaliano ya bajeti endapo akifanya kazi na wasanii hao pia kazi atakayoifanya ifike mbali.

"Hii ni Production ambayo ina deal na msanii yeyote kwa atakayefika kiasi ambacho kinapatikana kwa sababu kadri siku zinavyozidi kwenda ndiyo tunatakiwa kufanya vitu vikali zaidi, sijabanwa kwamba nisifanye video na mtu fulani ila ni bajeti ya mtu tu" amesema Director Kenny 

"Mimi sina noma na Alikiba wala Harmonize ninachotaka ni tufanye kazi iende mbali hiyo ndiyo future yangu, zamani niliwahi kumcheki Ali ili tufanye kazi ilikuwa kipindi cha mwaka 2016 au 2015" ameongeza 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava