Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kala kuingia kwenye siasa

Jumatano , 11th Oct , 2017

Msanii Kala Jeremiah ambaye amekuwa kifanya muziki wenye kuhamasisha sana jamii, amesema iwapo ataingia kwenye siasa ataingia kwa lengo la kuwa Rais wa nchi, na sio nafasi nyingine.

Kala ametoa kuli hiyo leo alipokuwa akiongea kwenye kipindi cha 5SELEKT kinachorushwa na East Africa Television, na kusema kwamba nafasi ya hiyo ya urais ambayo ndiyo nyadhifa kubwa serikalini, ndiyo anayoikusudia kwenye maisha yake, kwani kama ni ubunge ameshafanya sana kazi za ubunge.

“Wengi wananishauri niingie kwenye siasa, unajua kauli ya wengi ni kauli ya Mungu, kama nitaamua kuingia kwenye siasa nafasi ya urais ndo itanifaa zaidi kwa sababu ubunge nishafanya, nilipotoa wimbo na dada yangu Nakaaya wengi walikuwa wananiita mbunge, hivyo siwezi kuingia kwenye siasa kwa kutamani kuwa mbunge, nitatamani kuwa Rais”, amesema Kala.

Mara ya mwisho Kala alitoa wimbo unaoitwa 'wana ndoto' na kumpatia mafanikio makubwa kwa kupewa tuzo maalum, na hivi sasa ameachia wimbo wake mpya unaoitwa 'Kijana'.

Utazame hapa chini 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava