Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Jimmy Kindoki amvaa Dulla Makabila "Ole wako"

Jumamosi , 17th Apr , 2021

Shabiki na Mwanachama wa Klabu ya Yanga Jimmy Kindoki amempa onyo msanii wa singeli Dulla Makabila ambaye ametangaza kuihama timu hiyo na kuhamia Simba kwa kusema hataki kumuona tena akirudi kwani amefanya kitendo cha usaliti kama Yuda.

Kushoto ni Jimmy Kindoki, kulia ni msanii Dulla Makabile

"Ole wako tusikie umerudi Yanga ndio utajua siku hiyo kama Yanga inawenyewe, mmekosa kiki kwenye muziki wenu sasa mnahamia huku, nikwambie tu hiyo furaha ya Simba ni ya muda mfupi siku huyo Moo akisema basi ujue Simba inarudi kwenye msoto"

"Halafu tukusike unaleta kiherehere chako baki huko huko uliposema unahamia huku hatuhitaji wasanii wasiojielewa na kwa kiongozi yoyote atakaemkaribisha huyu Yuda kwenye hafla za Yanga hatutaelewana" ameeleza Jimmy Kindoki

Siku chache zilizopita msanii Dulla Makabila aliweka taarifa ya kuihama timu yake ya Yanga kutokana na matokeo mabovu wanayoyapata kwenye baadhi ya michezo yao ya siku za hivi karibuni.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava