Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Huku mtandaoni tupambane wenyewe" - Elizabeth

Jumatatu , 12th Apr , 2021

Staa wa filamu Elizabeth Michael maarufu kama Lulu amesema akijaaliwa watoto wake basi watu watawaona wakiwa wanaenda shuleni, barabarani, clinic na hata waficha bali atawaacha waishi maisha ya kawaida.

Msanii wa filamu Elizabeth Michael

Aidha kwenye suala la kuwapa uhuru watoto kutumia mitandao ya kijamii Elizabeth Michael amesema ataangalia umri wake na kumpa mipaka kwa sababu ni vitu ambavyo vina athari kubwa kwa mtoto.

"Kiukweli hata mimi inshaallah nikijaaliwa watoto, watu watawaona shuleni, clinic au barabarani yaani sitawaficha ila watawaona kwenye maisha ya kawaida tu, kuna kipindi nilikuwa nafanya tofauti katika malezi ya mdogo wangu ila akili ikaja kubadilika baadae

"Huku mitandaoni tupambane wenyewe tu, lakini kama mtoto atafika umri wa kuamua anataka nini 'its okay' wazazi ku-support ila kwa mipaka fulani maana sio kwamba mitandao ndio chanzo kikuu cha kuleta negative impact kwa mtoto, ila ni moja ya chanzo na kiko 'very tricky' ni kuomba Mungu pia" ameongeza 

Elizabeth Michael ametoa comment hiyo kufuatia stori ambazo zinaendelea mitandaoni kwa sasa kuhusu msanii wa filamu Kajala Masanja na mtoto wake wa kike Paulah.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava