
Mwanamasumbwi nyota wa Uganda Moses Golola
Taarifa kuhusiana na hili zimevifikia vyombo vya habari ikiwa ni madai ya mwenye nyumba wa Golola ambaye amedai kuwa mpangaji wake huyo amekuwa akimkwepa akidaiwa kodi tangu mwezi Aprili mwaka jana.
Msanii huyu mpaka sasa hajapatikana kutolea ufafanuzi taarifa hizi tata juu yake.
