Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

FA azungumzia kuhusu urafiki na kugombana na AY

Jumatano , 7th Aug , 2019

MwanaHipHop mkongwe hapa nchini Tanzania Mwana Fa, amefunguka suala la kugombana na rafiki yake na msanii mwenzake wa muda mrefu AY.

Mwana Fa amesimulia hayo leo kupitia EATV & EA Radio Digital na kusema kuwa huwa wanagombana sana na AY.

"Tunapishana, kugombana na kubishana kila siku ila tunalala tukiamka tunaangalia mambo mengine, vitu hivyo vipo na vinatokea ila huwa tunarudi nyuma kuangalia kitu gani kilichotufanya tunagombana sio kulipiziana visasi."

Urafiki wa Mwana Fa na AY umedumu kwa miaka 17 na ulianza mwaka 2002, katika kundi la East Cost Team walipokuwa na wasanii wengine wakiwemo GK.

Aidha msanii huyo amezungumzia suala lake la kuingia katika biashara na kusema, yeye sio wa kwanza kufanya hivyo hata Jay Z, P.Diddy na Rihanna wanafanya.

Pia amesema pesa inayofanya kuonekana kupata maendeleo kwa wasanii haitoki kwenye show na muziki peke yake bali na uwekezaji mwingine.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava