Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Dully aibua mapya!! Uhuru wa Tanzania

Ijumaa , 18th Aug , 2017

Mwanamuziki mkongwe wa bongo fleva 'Prince Dully Sykes' Mr. Misifa' amefunguka leo mapya na kudai familia yake ilihusika katika kuleta uhuru wa nchi hii ingawa serikali imekuwa haiwakumbuki watu hao.

Akiwa kwenye Heshima ya Bongo Fleva ndani ya Planet Bongo ya EATV Dully amesema historia ya uhuru watu wengi wamekuwa hawaifahamu kwa kuwa serikali imekuwa haina tabia ya kuwakumbuka watu waliopambana kuleta uhuru.

"Babu yangu mimi alishiriki kikamilifu katika kuhakikisha nchi inapata uhuru. Lakini ndiyo hivyo serikali yetu huwa haiwakumbukagi hao watu. Mfano mimi babu yangu amefanya mengi hadi uhuru ukapatika, ni kati ya wale watu waliojichanga na kumpatia Mwalimu  Nyerere pesa aende kwa Waingereza kuomba uhuru. Siongei kama kutaka sifa, labda babu yangu watu hawamjui lakini hata historia ya mtu  aliyetunga wimbo wataifa naye hatumjui. Mimi babu alikataa kuwa Mwenyekiti wa TANU akamuachia Nyerere ambaye alikuwa rafiki yake sana," Dully alifunguka.

Hata hivyo Dully ameeleza sababu ya familia yake kushindwa kujitangaza mbele za watu kama ni watu waliopigania uhuru

"Familia yangu mimi siyo watu wa kuzungumza au kutaka kujionyesha sana, Mfano kama mimi watu wengi wanashindwa kunipa sifa zangu kwamba ndiye mwanzilishi wa bongo fleva zaidi ya nyinyi wachache ndiyo mmekuwa mkiisema hiyo itakuja kuwa babu yangu ambaye hajulikani? Ila ni vyema historia hizi watanzania wakapatiwa na kuijua historia ya nchi yao"

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava