Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Dawa za kulevya zamuumiza Madee

Jumatano , 17th Mei , 2017

Rais wa Manzese, Madee Ali amefunguka kwa uchungu kuwataka vijana wanaojihusisha na matumizi ya dawa za kulevya kuacha mara moja na kutafuta njia za kupunguza mawazo ili kupunguza idadi ya vifo vinavyosababishwa na janga hilo.

Madee amefunguka hayo akiwa kwenye Planet Bongo ya East Africa radio na kusema kuwa janga la dawa za kulevya limezidi kukithiri hali ambayo kwa vijana wa sasa kutimiza miaka 40 limekuwa  jambo la nadra sana.

Aidha Madee amelazimika kuwaasa vijana kutokana kifo cha Msanii mwenzake Dogo Mfaume kuchangiwa kwa kiasi kikubwa na za dawa ya kulevya.

"Madawa yanatumaliza sana jamani. Nawaomba wadogo zangu, ndugu zangu tubadilishe njia za kupunguza mawazo.  Najua stress ni nyingi na ndio zinatukimbiza huko, tuachane na madawa maana hayana msaada zaidi  kutumaliza kwa wingi. Ukiangalia matokeo ya dawa za kulevya kwa umri huu ukifikisha miaka zaidi ya 40 inakubidi umshukuru Mungu sana''- Madee alliongeza.

 

 

 

 

 

 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava