Jumatatu , 9th Mei , 2022

Sharobaro President Bob Junior ameweka wazi kwamba msanii wa filamu Wema Sepetu ni mwanamke wake na huenda akamtolea posa kumuoa. 

Picha ya Bob Junior na Wema Sepetu

Akimzungumzia Wema Sepetu kupitia na Planet Bongo ya East Africa Radio Bob Junior amesema 

"Ni mwanamke wangu na mke wangu kabisa msitake kujua vitu vingi, mapenzi yetu si vyema kuyazungumzia sana ila wafaham ni mwanamke wangu pengine nitamposa".

Wawili hao wame-make headlines mitandaoni baada ya Bob Junior kupost video akiwa anam-kiss Wema Sepetu.

Zaidi tazama hapa kwenye video.