Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ben Pol asimulia alivyoomba 'lift' kwa Darassa

Jumatano , 11th Jan , 2017

Mwanamuziki Ben Pol anasema kwa mara ya kwanza aliposikilizishwa wimbo wa 'Muziki' wa Darassa aliwaza mambo mawili katika akili yake.

Ben Pol

Jambo la kwanza anasema aliwaza kuwa wimbo ule ulikuwa unahitaji mwimbaji lakini kingine aliona wimbo ule ni 'hit song' hivyo anahitaji kupata lifti kwenye wimbo huo.

Ben Pol alisema hayo jana alipokuwa kwenye kipindi cha Planet Bongo na kusema ilibidi amshawishi Darassa kwa kumwambia kuna sauti anataka kuiweka kwenye wimbo huo ili msanii yoyote akayekuja kuimba apite kwenye njia hizo.

"Nakumbuka tulikuwa Singida na Darassa akanisikilizisha ule wimbo, nilipousikia niliwaza mambo mawili moja niliwaza kuwa wimbo ule ulikuwa unahitaji mwimbaji, lakini niliona ile ngoma ni 'hit song' hivyo nilikuwa nahitaji lifti, nikamwambia Darassa tukirudi mjini naomba nikuwekee sauti kwenye wimbo huo ili mtu yoyote atakayekuja kuimba apite njia hizo, lakini baada ya kuweka sauti yangu baada ya hapo Producers walisema tu nimalize mwenyewe" alisema Ben Pol 

Darassa

Mbali na hilo Ben Pol anasema ameamua saizi kufanya kazi na watu ambao wanaweza kusimamia kazi zao na si wale ambao wanafanya kazi harafu wanaziweka ndani au hawazipi nguvu kazi hizo.

"Saizi nimeamua ni bora nifanye kazi na watu wachache ambao kazi zao watazifanyia kazi siyo kufanya kazi na wasanii 40 harafu watatu tu ndiyo wanazipa nguvu kazi sasa si bora nifanye na watu watatu ambao naona kabisaa watazifanyia kazi ngoma hizo na kuzifikisha mbali zaidi" alisema Ben Pol 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava