
Ben Pol
Akiongea kupitia eNewz Ben Pol amesema kwa sasa hayupo tayari kabisa kuongelea swala la mwanamke ambaye kwa sasa wameachana na hayupo tayari kumuelezea mtoto wake na endapo mtu yeyote atahitaji kufanya mahojiano kuhusiana na mtoto wake asubiri mtoto akue ili aweze kumuhoji kuhusiana na maisha yake.
Mtazame hapa:-........