
Afisa habari wa Baraza la Sanaa Tanzania, (BASATA) Aristideus Kwizera
Kwizera ameeleza kuwa, BASATA imefurahishwa na namna ambavyo elimu juu ya Hakimiliki na Hakishiriki kwa wasanii imekuwa ikitolewa sambamba na burudani kali ya ngoma za kibongo kupitia kipindi hicho.
