Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Alikiba apewa tahadhari nzito kwenye mgahawa

Ijumaa , 25th Sep , 2020

Staa wa BongoFleva Alikiba amesema siku ya jana alipigiwa simu ya kupewa tahadhari ya kutokwenda kula kwenye mgahawa mmoja uliopo mitaa ya Upanga baada ya 'cashier' wa mgahawa huo kumsema vibaya.

Msanii wa BongoFleva Alikiba

Alikiba amesema hayo kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio mara baada ya kuulizwa kwanini ametoa wimbo wa aina hiyo wakati hawamjazoea akifanya miziki ya aina hiyo. 

"Muziki una season na mimi nnimeona huu ndiyo wakati wake nilisemaga nikianza kujibu mtashangaa maana tukipiga kelele tutakuwa wote wajinga halafu hatutasikilizana ila baadaye nikitulia nitakupa jibu lako na sipo kwa ajili ya ushindani

"Baada ya kuachia hii ngoma nilienda mahali kula mitaa ya Upanga ambapo watu wanaouza hapo nawafahamu, sasa kuna kijana mmoja ni cashier  pale, baada ya kula wakati naondoka akawa ananiongelea vibaya sana hadi nikapigiwa simu kupewa tahadhari nisiende kula tena pale, maana naweza kuekewa hadi sumu kwa jinsi ambavyo alikuwa ananiongelea, najua watu hawanipendi lakini mimi sijali" ameongeza 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava