Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

VIDEO: Akigombea Lowassa nitajitoa - Wolper

Jumatano , 24th Mei , 2017

Msanii wa filamu nchini, Jacqueline Wolper amefunguka na kusema endapo mwaka (2020) Mh. Edward Lowassa atagombea Urais basi yeye atajitoa moja kwa moja kumsapoti katika kampeni zake kwani yeye ni shabiki mkubwa sana wa Waziri huyo Mstaafu.

Wolper amesema hayo kupitia kipindi cha KIKAANGONI kinachofanyika kupitia ukurasa wa Facebook wa EATV na kudai kuwa yeye anampenda sana Lowassa pamoja na mkewe na kusema hata kampeni za mwaka 2015 alijitoa kumsapoti Lowassa kutokana na mapenzi yake kwani hakuwahi kulipwa hata elfu kumi.

"Kama Edward Lowassa atagombea urais mwaka 2020 Mungu wangu nitampa sapoti yangu moja kwa moja, mimi nampenda sana Lowassa na mkewe na nilianza kumpenda Lowassa toka kanisani maana kila harambee alikuwa anakuja, kwa hiyo mimi ni shabiki wa Lowassa na mkewe nilifanya kampeni kwa ajili ya kumsapoti Mh. Lowassa na sijawahi kuchukua pesa yoyote lakini watu wake walinitelekeza ndiyo maana nilikwenda CCM" -alisema Wolper.

Hata hivyo Wolper ambaye alionekana kuwa na ushawoshi mkubwa kwenye kampeni za 2015 anadai baadaye aliamua kwenda CCM sababu huko kulikuwa na rafiki zake wengi na watu wa huko walikuwa wakimjali tofauti na CHADEMA. 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava