Picha ya kitambulisho cha Tupac Shakur akiwa gerezani

30 Oct . 2023

Mkuu wa Mkoa wa Geita, Martin Shigela (katikati) ambaye alitembelea banda la GGML kwenye kongamano la Kimataifa la Madini na Uwekezaji Tanzania 2023 akipokea zawadi kutoka kwa Afisa Uhusiano wa Jamii wa GGML, Doreen Dennis akiwa katika picha ya pamoja na Meneja Mwandamizi Mahusiano ya Jamii - GGML, Gilbert Mworia.

30 Oct . 2023

Waziri Mkuu Kasim Majaliwa (wa pili kulia) akifurahia jambo na Meneja Mwandamizi wa kampuni hiyo anayesimamia mahusiano jamii, Gilbert Mworia (kushoto) alipotembelea banda la kampuni hiyo katika maonesho yaliyokuwa yanaendelea kando ya Kongamano la Kimataida la Uwekezaji na Madini Tanzania 2023.

27 Oct . 2023