Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Rais Samia atoa kauli mijadala ya bungeni

Jumapili , 18th Apr , 2021

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan amewataka wabunge kuwa na mijadala inayojikita katika kupitisha bajeti za serikali kwa ajili ya maendeleo ya taifa badala mijadala amabayo haina tija kwa taifa.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan

Rais Samia amesema hayo katika Kongamano la kidini la taifa liliofanyika Dodoma ambapo ameeleza kuwa awamu ya Sita imeikita kuendeleza na kudumisha mema yaliyopita, yaliyopo na mapya na hiyo  ndio maana halisi ya kauli yakke ya ‘Kazi Iendelee' kwani kazi ilishafanywa hiovyo inaendelezwa .

“Nimekuwa nikifuatilia mijadala yenu bungeni, ni mijadala ambayo haina afya kwa taifa letu naomba sana kipindi hiki ndugu zangu wabunge tunatakiwa kupitisha bajeti za sekta mbalimbali, bajeti ya serikali kwa ajili ya maendeleo ya taifa letu naomba jikiteni sana huko" amesema  Rais Samia

Pia Rais Samia ameeleza kuwa tiyari ameshaunda kamati ya kumshauri kuhusiana na hatua ambazo zinaweza kuchukuliwa kama nchi kuhusuiana na anga la virusi vya corona.

“Nataka niwape taarifa kwamba tayari nimeshaunda kamati ya kunishauri kuhusu hatua tunazoweza kuchukua kama nchi jinsi tutakavyojikinga na janga la corona, na hivi punde nitakaa nao na uongozi wa Wizara ya Afya na Wizara ya Fedha ili kuona namna tutakavyokwenda na jambo hili” amesema Rais Samia
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava