Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kituo cha uwekezaji chatoa taarifa yake

Alhamisi , 29th Apr , 2021

Kituo cha Uwekezaji nchini TIC kimesema kuanzia Julai 2020 hadi sasa hakuna kampeni iliyofanyika ya kusafiri kutangaza vivutio vya utalii kutokana na mataifa mbalimbali duniani kuweka masharti dhidi ya Covid 19 hali iliyopelekea kuendesha mikutano zaidi ya saba kwa njia ya mtandao.

Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo Cha Uwekezaji nchini Dkt Maduhu Kazi

Kauli hiyo imetolewa na Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo Cha Uwekezaji nchini Dkt Maduhu Kazi wakati akitoa Taarifa ya robo ya tatu ya mwaka 2020/2021 ambapo pia ameelezea hadi sasa jumla ya miradi 151 imesajiliwa katika kipindi cha mwezi Julai 2020 hadi machi 2021.

"Kama Kituo kwa sasa tunafanya kila mbinu kuhakikisha zile changamoto zote za Uwekezaji zinakoma ikiwemo upande wa ardhi,ushirikiano katika Taasisi zinazoingiliana katika Uwekezaji," amesema Dkt Maduhu.

Aidha Dkt Kazi ameeleza kuwa wamekuwa wakitumia jukwaa la Africa Investment Forum kuielezea miradi ya ndani  kwakuwa pana wafanyabiashara na wawekezaji wakubwa kutoka duniani .

Kuhusu Suala la wawekezaji wanaohitaji ardhi amesema wanashirikiana vyema na wizara ya ardhi kuhakikisha wanapata maeneo bila vikwazo huku Taasisi ikiboresha utoaji wa huduma za vibali na leseni katika Kituo Cha pamoja yaani one stop facilitation center.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava