Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Elimu kwa watoto kupunguza maambukizi ya UKIMWI

Jumanne , 1st Dec , 2020

Katika kilele cha maadhimisho ya siku ya UKIMWI duniani uwepo wa mitaala itakayosaidia utaoaji wa elimu ya uzazi kwa watoto umetajwa kuwa utasaidia katika kupunguza maambukizi mapya ya virusi vya UKIMWI nchini.

Mwalimu akielezea jambo wanafunzi (Picha kutoka mtandaoni).

Hayo yamesemwa na Afisa Sheria, Kutoka Chama cha Wanasheria Wanawake nchini (TAWLA), Joseph Oguda, akiwa katika kipindi cha Supa Breakfast ambapo amesema  kwa mujibu ya utafiti wa TAKUKURU ongezeko la maambukizi mapya ya virusi hivi yamechangiwa na rushwa ya ngono iliyosheheni vyuoni.

“Mtaala wetu wa elimu haujahusisha mtaala wa elimu ya uzazi ambapo watoto walitakiwa wapewe elimu ya uzazi kuwajengea msingi na ili kuweza kujiepusha na athari ukatili wa ngono , elimu zinatolewa na asasi kila siku lakini bado kuna chanagmoto ya utayari wa jamii inayopewa hiyo elimu” amesema Oguda

Aidha Oguda ameweka wazi kuwa bado kuna changomoto kwa upande wa vijijini na sehemu chache za majini kwa upande wa mila na desturi ambazo zinachangia katika kuongeza maambukizi ya virusi hivi.

“Umaskini unachangia watu kujihusisha na ngono, kwa maeneo ya Pwani mila na desturi potofu zilizopitwa na wakati zimechangia maabukizi ipo imani kuwa ukifanya mapenzi na mtu ambaye hajafikisha miaka 18 unapona VVU , na kwa Tarime kuna mila msichana awezi kuwa msichana jasiri pasipo kukeketwa hivyo wanajiweka katika hatari ya kupata virusi vya Ukimwi” amesema Oguda

 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava