Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Zaidi ya kondomu 345,000 zilizotumika, zakamatwa

Ijumaa , 25th Sep , 2020

Kufuatia kukamatwa kwa mipira ya kiume (kondomu), 345,000 ambazo zimekwishatumika na kusafishwa kisha kurudishwa madukani baadhi ya wananchi wa Vietnam wamesema kuwa bidhaa hizo zisiuzwe kwa rejareja badala yake ziuzwe katika maduka maalumu ambayo yamethibitishwa na shirika la afya.

Kondomu zilizokamatwa Vietnam

Jeshi la polisi la nchini Vietnam lilikamata  mipira hiyo ya kiume 345,000 zilizotumiwa ambazo ziliripotiwa kumwagiwa maji ya moto kwa ajili ya kusafishwa ili kurejeshwa tena sokoni.

Mipira hiyo ya kiume ambayo ni zaidi ya kilo 360 zimekamatwa katika jiji la Ho Chi huko Vietnam baada ya  mkazi aliyekuwa jirani na eneo la tukio kutoa taarifa ambazo zilichunguzwa na jeshi hilo.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na kituo cha serikali cha Vietnam Televisheni (VTV) ilionyesha mifuko  mikubwa iliyo na dawa zinazotumiwa kwa ajili ya zoezi hilo.

Mwanamke aliyekamatwa  baada ya polisi kuvamia eneo hilo ameeleza kuwa  wamekuwa wakizichemsha kisha kuzianika katika mti na kuandaliwa kwaajili ya kuuzwa tena.

Lakini mpaka sasa  jeshi la polisi halijatoa tamko rasmi kuhusiana na tukio hilo kutokana na kufuata taratibu za kisheria

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava