Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wenye vyombo vya moto waagizwa ukaguzi

Jumatatu , 13th Mar , 2023

Baraza la usalama barabarani limetoa muda hadi machi 30 mwezi huu vyombo vyote vya usafiri na usafirishaji barabarani viwe vimekaguliwa na kubandikwa stika kwani baada ya tarehe hiyo magari yote yatakayo kuwa hayajakaguliwa yatakamatwa na kufanyiwa ukaguzi kwa gharama za mmiliki

Akiongea jijini Mwanza katika ukaguzi wa maandalizi ya maadhimisho ya wiki ya  usalama barabarani itakayoanza marchi 13 hadi machi 14 mwezi huu, naibu waziri wa mambo ya ndani ya nchi ambaye pia ni mwenyekiti wa baraza hilo  Jumanne Sagini amesema mwitikio wa wamiliki wa vyombo vya usafirishaji kufanyiwa ukaguzi ni mdogo

.
Ameeleza ukaguzi wa magari utasaidia kupunguza ajali barabarani akizungumzia ajali iliyotokea Geita kuwa mataili yalikuwa yameisha muda wake na kusababisha kugharimu maisha ya watu.

Sagini amewata wakaguzi wa magari kutekeleza jukumu la ukaguzi ipasavyo na yatakayo kidhi ndio yaruhusiwe na kuondoa malalamiko yanayo tolewa na wananchi kuwa zoezi hilo ni uuzaji wa stika.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava