Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Watanzania watakiwa kuwa waangalifu na mitandao

Ijumaa , 24th Apr , 2015

Watanzania wametakiwa kuwa waangalifu kwenye matumizi ya teknolojia ya mitandao ya kijamii ili wasiweze kuingia kwenye matatizo na mamlaka za kisheria.

Maria Sasabo (mwenye kofia) akimueleza jambo mkuu wa mkoa wa Njombe Rehema Nchimbi (kushoto).

Wito huo umetolewa leo na meneja wa mamlaka ya mawasiliano nchini (TCRA) kanda ya kati Maria Sasabo wakati akizungumza na East Afrika Radio ofisini kwake mjini Dodoma.

Sasabo amesema baadhi ya watu nchini wamekuwa wakiitumia vibaya mitandao ya kijamii kwa kuwatapeli watu hali ambayo huwafanya wengi wao kuishia mikononi mwa vyombo vya dola.

Alisema teknolojia ya mawasialino imeletwa ili kuwarahisishia watu mawasiliano nchini pamoja na ulimwenguni kwa ujumla lakini kuna baadhi ya watu wamekuwa wakiitumia kinyume kwa ajili ya kuwatapeli watu wengine.

Kwa upande wake mhandisi Charles Ambele kutoka mamlaka ya mawasiliano kanda ya kati amewatahadharisha watanzania kutoweka taarifa zao muhimu wakati wa kujiunga na mitandao ya kijamii kwani mara nyingi wahalifu wa mitandao hutumia taarifa hizo kuwatapeli watu husika.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava