Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Watanzania waombwa kumsaidia mtoto Gift

Jumatano , 23rd Nov , 2022

Nsamaka Masanja ambaye ni mama mzazi wa Gift Amani mwenye umri wa miaka mitatu, mwenye uvimbe maeneo mbalimbali ya mwili wake amewaomba watanzania kumsaidia ili aweze kumudu malezi ya mwanaye.

Mtoto Gift Amani na mama yake

EATV imefika mitaa ya Muhimbili jijini Dar, na kukutana na binti Gift ambaye alifika hospitali ya Taifa Muhimbili kufanyiwa matibabu akieleza kuwa mtoto wake alizaliwa na uvimbe maeneo mbalimbali ya mwili wake, kiwa pamoja na mikononi, kifuani na makwapani, huku ikiendelea kukuwa kadiri siku zinavyoendelea.
 
Akiendelea kuzungumza kwa Uchungu mkubwa, Mama Gift anabainisha kuwa baada ya kuhangaika kupata matibabu ya afya ya mtoto wake, amefanikiwa kufika hospitali ya Taifa Muhimbili, na haya ndio majibu aliyopewa.

Na hapa anaeleza uhitaji mkubwa alionao kwa sasa, huku akiomba zaidi msaada kwa ajili ya mtoto wake kuwezwa kupata elimu.

Kwa yoyote atakayetaka kumsaidia Gift na mama yake, anaweza kusiliana zaidi kwa namba 0759665555
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava