Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

''Watanzania ni watumwa katika nchi yao'' -Bulembo

Ijumaa , 18th Mei , 2018

Mbunge wa kuteuliwa AbdallaH Bulembo amemtaka Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai, kuunda Tume maalumu ya Bunge ambayo itachunguza  madhara  waliyopata wananchi kutokana operesheni mbalimbali za kuzuia uvuvi haramu nchini.

Bulembo amesema hayo leo Mei 18, 2018 Bungeni mjini Dodoma alipokuwa anachangia hoja ya kupitisha makadirio ya mapato na matumizi ya wizara ya mifugo na uvuvi katika mwaka wa fedha 2018/2019 na kuongeza kuwa wananchi wamekuwa watumwa katika nchi yao kutokana na kunyanyasika na operesheni hizo.

“Baada ya miezi tisa mnaenda kuomba kura kwenye serikali za mitaa, mnaenda kusema nini kwa hali hii? mnaendaje kuongea na watu hawa? mtanzania anakuaje mtumwa kwenye nchi yake? wafanyakazi wanalia, wafanyabiashara wanalia, watu wote wanalia inawezekanaje, Mpina huwatendei haki watanzania na hii kuna siku Mungu atahukumu, watu wamekuwa watumwa kwenye nchi yao kwasababu ya kuvua” amesema Bulembo.

Mbunge huyo ameongeza kuwa Waziri wa mifugo na uvuv Luhaga Mpina amekua kiongozi asiyependa kusikiliza shida wanazopata wananchi kutokana na uendeshwaji mbovu wa operesheni hizo, Bulembo amesema “wafugaji wanadhambi gani, kufuga ni dhambi? waziri anafuatwa mpaka kwenye viwanja vya Bunge hataki kuwasilikiza watu, wewe ni waziri wa nani? kama hauwahudumii watu uwaziri wako ni wa nini?”

Bulembo amedai kwamba hataunga mkono hoja ya Wizara Mifugo ya Uvuvi mpaka pale itakapoundwa Tume na waziri husika kusimamisha operesheni kwani katika operesheni hizo wapo baadhi ya watu ambao walipigwa risasi na wengine kujinyonga.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava