Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wasiooa hufa zaidi kwa magonjwa ya moyo

Alhamisi , 2nd Jun , 2022

Utafiti umeeleza kwamba watu ambao hawajaoa ama kuolewa wapo kwenye hatari zaidi ya kufariki dunia kwa magonjwa ya moyo, na kwamba hata ule uwezo wao katika kujisimamia huwa ni mdogo ukilinganisha na watu waliooa ama kuolewa.

Mtu mwenye magonjwa ya moyo

Dk Fabian Kerwagen wa Hospitali ya Chuo Kikuu cha Wurzburg Ujerumani amesema kwamba watu waliooa ama kuolewa wanayonafasi kubwa ya kuishi kutokana na usaidizi wanaoupata kutoka kwa wenzi wao ikiwemo kukumbushwa suala la utumiaji wa dawa kwa wakati.

"Tumegundua kwamba wagonjwa ambao hawajaolewa ama kuoa wanashindwa kuhusiana na jamii ukilinganisha na waliooa ama kuolewa na pia wanakosa uthubutu wa namna ya kukabiliana na magonjwa hayo, bado tunachunguza," amesema Dkt. Kerwagen

Aidha Dkt. Kerwagen amewasisitiza wahudumu wa afya kuwauliza wagonjwa wenye matatizo ya moyo kuhusu hali zao za mahusiano na wahakikishe wanawahamasisha ili wawe na uwezo wa kujisimamia wenyewe.
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava