Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wanaokiri kutumia dawa za kulevya kusamehewa?

Ijumaa , 17th Feb , 2017

Waziri wa Sheria na Katiba Dkt. Harrison Mwakyembe amesema licha ya sheria kuweka adhabu ya kifungo kwa watu wanaotumia dawa za kulevya, bado kuna nafasi ya watu wa aina hiyo kusamehewa endapo watajitokeza mapema, kukiri na kuahidi kuacha.

Waziri Dkt. Harrison Mwakyembe

Dkt. Mwakyembe amesema hayo wakati akitoa elimu juu ya sheria mpya ya kupambana na kudhibiti dawa za kulevya, kupitia kipindi cha East Africa Breakfast cha EA Radio, na kutolea mfano baadhi ya wasanii ambao walitajwa hivi karibuni na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaa, ambao baadha ya kuhojiwa walikiri kutumia na kuahidi kuacha.

Amesema kama mtu anatumia, halafu akawa anakataa kiasi cha kulazimu uchunguzi hadi kufikishwa mahakamani, huyo atapelekwa mbele ya sheria ichukue mkondo wake.

Msanii TID alipowaomba radhi watanzania na kutangaza kuacha matumizi ya dawa za kulevya

Baadhi ya wasanii ambao walikiri kutumia dawa hizo, na kuwekwa chini ya uangalizi wa mahakama kwa mwaka mmoja na wengine miaka miwili ni pamoja na TID, Tunda, Petit Man na wengine.

Kwa mujibu wa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, sheria imetoa adhabu kwa mtumiaji wa dawa hizo kufungwa gerezani miaka mitatu.

Huyu hapa Dkt. Mwakyembe

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava