Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wanaoharibu vyanzo vya maji kukamatwa

Jumatatu , 26th Sep , 2022

Serikali imeagiza kukamatwa na kufikishwa mahakamani watu wote watakaobainika kuharibu vyanzo vya maji, ikiwamo miradi ya maji safi na salama inayojengwa vijijini kwa lengo la kuondoa adha ya wananchi kutembea umbali mrefu, kwenda kutafuta huduma hiyo nyakati za usiku 

EATV ilifika katika shughuli ya mazishi ya vijana hao na hapa mkuu wa wilaya ya Geita Wilson Shimo anakemea wachimbaji kuacha kuvamia maeneo yaliyofungiwa ili kulinda maisha yao

"Tusifanye njia ambazo ni haramu za mkato mkato, kama ambazo ndugu zetu hawa walifanya, ni ajali ndio kweli ni ajali, lakini inapotokea inapofanyika kwenye eneo ambalo sio sahihi kwa muda ule mahali pale, tunasema hata hivi vifo havikuwa sahihi, tutaendelea kuzika vijana wangapi, wanaofukiwa na mchanga au udongo machimboni, mara kwa mara kwenye duara ambazo si salama kuzichimba, tufanyeni machimbo katika maeneo ambayo ni sahihi, rasmi na tufanye kwenye muda na masaa ambayo ni sahihi pia",alisema Shimo.

Kaimu Afisa Madini mkoa wa Geita Dotto Ernest anasema Mgodi huo ulishafungiwa kutokana an sababu za kiusalama lakini wachimbaji wadogo wamekuwa wakienda kinyemela kuchimba usiku wa manane.

"Tujifunze kufanya kazi chini ya maelekezo ya ofisi ya tume ya madini kwa ujumla kwa eneo lile lilikuwa halifanyiwi kazi, wenye maduara walikuwa nayo pale yakajaa maji wakayatelekeza, hiyo ndio taarifa kamili ambayo ipo ofisini sasa wenzetu kwa bahati mbaya wakajikuta wanaenda kufanya kazi kwenye eneo lile", alisema Ernest.
Baadhi ya wachimbaji waliofanya uokozi wa miili ya wenzao wanaelezea tukio hilo.

"Walifukiwa wakiwa wanachimba, sababu walipigwa kwa ndani katika maeneo hayo sanasana wanachimba sio kama walikuwa juu ya maduara, hapana walikuwa ndani ya duara", alisema Manyandodi.

"Tukio hili lilitukuta yalikuwa majira ya saa11 za kuelekea asubuhi, nilifika kweli nikakuta tukio nililoambiwa la kupondwa vijana hao wa Sobola badae pale tukafanya jitihada za kuweza kuwaokoa lakini ilikuwa ni kazi  kifusi kilichokuwa kimemwagiwa kwa ndani kilikuwa ni kikubwa, watu waliitikia kweli tukaanza nao kufanya kazi za uokozi, baadae tulipomaliza kufanya kazi za ufukuzi tukawapata marehemu tayari walishapondwa, wamesgafariki na tukawatoa pale nje", alisema Kisinza.
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava