Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wanaoambukiza vijana VVU makusudi waonywa

Alhamisi , 1st Dec , 2022

Jamii ya watu wanaojitambua kuishi na maambukizi ya virusi vya UKIMWI wilaya ya Tabora wametakiwa kuacha kutumia vishawishi ikiwemo kuwadanganyia fedha vijana wadogo na hatimaye kuwapa maambukizi kwa makusudi.

Wadau wa UKIMWI mkoa wa Tabora

Katika maadhimisho ya siku ya UKIMWI Duniani ambayo kwa wilaya ya Tabora yamefanyika viwanja vya shule ya msingi Kapunze, Kata ya Ikomwa, wadau wa mapambano dhidi ya  maambukizi ya virusi vya  UKIMWI  wilayani Tabora,wakati wakitoa salamu katika maadhimisho hayo wamesema wapo watu wenye fedha wakiwemo akinamama wenye umri mkubwa wamekuwa wakiwalaghai vijana kwa fedha na hatimaye kuwatumbukiza katika maambukizi ya UKIMWI.

Akizungumza Mstahiki Meya wa Manispaa ya Tabora Ramadhani Kapela, ambaye ndiye mgeni rasmi katika maadhimisho hayo amesema kitendo hicho sio cha kiungwana huku akitoa rai kwa jamii pia kuacha kuwanyanyapaa watu wenye maambukizi ya VVU.

Wakati Dunia ikiadhimisha siku ya UKIMWI hii leo Desemba Mosi, 2022, Mratibu wa UKIMWI katika Manispaa ya Tabora Aziza Mgeta, ametaja maambukizi ya virusi vya UKIMWI kwa wilaya ya Tabora kupungua kutoka 5% mpaka 3.8% kwa mujibu wa utafiti uliofanyika mwaka 2019.
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava