
Mshambuliaji wa Atletico Madrid, Luis Suarez akilia kwa hisia baada ya kuisaidia timu yake kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu ya Hispania.

Lionel Messi akionekana kusikitika baada ya matokeo mabaya.

Tyson Fury (Kulia) akimuadhibu Diontay Wilder (Kushoto) katika moja ya pigano walilokutana uliongoni.

Picha ya mtandao ikiwaonesha vijana wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT).

Waziri wa Nchi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mhe. Ummy Mwalimu

Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa akizindua Kitabu cha Mkakati wa Usimamizi wa Utekelezaji wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022 jijini Dodoma. Kushoto ni Makamu wa Pili wa Rais-Zanzibar, Mhe. Hemed Suleiman Abdallah, katikati ni Mtakwimu Mkuu wa Serikali, Dkt. Albina Chuwa, jijini Dodoma.

Mshambuliaji wa Simba, Benard Morrison akifurahia jambo mara baada ya kikosi chake kutwaa taji la Ligi Kuu Tanzania bara msimu uliopita.

Baadhi ya mechi Brooklyn Nets vs Boston Celtics na Milwaukee Bucks vs Miami Heat