
Waziri wa Nchi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mhe. Ummy Mwalimu
Ummy amesema Walimu na Kada mbalimbali za Afya ambao walishindwa kuomba ajira kwa sababu yoyote wameongezewa muda kutoka Mei 23 ambao ulipangwa awali hadi Mei 28, 2021.
Soma zaidi hapa