
Hali hiyo inayohitaji msaada wa kibinadamu wa haraka, imebainika kutokea kwenye kambi ya wamkibizi iliyotembelewa na MSF yenye watu 24,000.
Wengi wao wapo katika hali duni na kuchanganyikiwa, pia mtoto mmoja kati ya watano anaugua utapiamlo mkali, shirika la MSF limesema.