
Wanadai kuwa zoezi hilo linafanyika kinyume na makubaliano ya awali
Awali makubaliano yalijengwa katika msingi wa kulipana mali kwa mali tofauti na zoezi linavyofanyika sasa hivyo kumuomba Rais Dkt Samia kuingilia mchakato huo
Mradi wa uendelezaji wa bonde hilo unatekelezwa kupitia benki ya dunia