Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wahamiaji haramu wakamatwa Kilimanjaro

Alhamisi , 11th Aug , 2022

Jumla ya Wahamiaji haramu 47 raia wa Ethiopia na Somalia  wamekanatwa mkoani Kilimanjaro kwa tuhuma za kuingia nchini kinyume cha sheria 

Wahamiaji hao wamekamatwa usiku wa kuamkia leo Agosti 11, 2022 saa 9 usiku wilayani Mwanga mkoani Kilimanjaro ambapo inaelezwa walikuwa wakielekea nchini Afrika Kusini na Malawi 

Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro na Mwenyeki wa ulinzi na usalama Nurdini Babu ameipongeza idara ya uhamiaji pamoja na jeshi la polisi  kwa kushirikiana vyema katika kuhakikisha mkoa wa Kilimanjaro unakua salama ikiwa ni pamoja na kuwabaini wahamiaji haramu wanaoingia kinyemela bila kufuata kanuni na taratibu

Akizungumza wakati wa ushushwaji wa wahamiaji hao haramu amesema wahamiaji hawakatazwi ila sio wahamiaji haramu na nchi ya Tanzania ni huru hivyo sheria na kanuni za uhamiaji ni vyema zikafuatwa.

Idara ya uhamiaji mkoani Kilimanjaro  ikishirikiana na kamanda wa jeshi la polisi mkoa imeendesha oparesheni maalum katika mpaka wa Tanzania na Kenya iliyofanikisha kuwkaamata wahamiaji hao

Mkuu wa uhamiaji mkoani Kilimanjaro Edward Mwenda amewaambia waandishi wa Habari kuwa oparesheni hiyo inalenga kutokomeza wahamiaji hao kutumia Tanzania kama uchochoro
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava