Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Wahalifu ageni familia zenu"- IGP Sirro

Ijumaa , 26th Feb , 2021

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP) Simon Sirro, amewataka wale wote wanaofanya uhalifu kwa kutumia silaha kuhakikisha kabla hawajatoka majumbani mwao wahakikishe wameziaga familia zao kwani jeshi hilo haliwezi kuwavumilia.

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP) Simon Sirro

Kauli hiyo ameito hii leo Februari 26, 2021, mara baada ya Rais Dkt. John Magufuli, kuzindua Chuo cha Maafisa wa Polisi Kurasini Dar es Salaam, ambapo alitumia nafasi hiyo kutoa taarifa ya mwenendo wa uhalifu hapa nchini na kusema kuwa hali ya usalama ni shwari licha ya uwepo wa changamoto.

"Watanzania na wahalifu watuelewe awamu hii si ya kuendekeza ujambazi wa kutumia silaha na ugaidi, ukiingia kwenye hii biashara usiilaumu serikali, kwahiyo Mh. Rais nikuhakikishie wale ambao hawataki kubadilika tutawalazimisha," amesema IGP Sirro

Aidha, IGP Sirro ameongeza kuwa, "Huwa nasema kabla hujachukua bunduki yako nyumbani kwako kwenda kusumbua Watanzania uage familia yako kwa sababu habari ya bunduki ukamataji wake huwa ni mgumu, Watanzania walishasahau benki zao kunyang'anywa fedha".

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava