Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Waethiopia waitesa uhamiaji Tanzania

Alhamisi , 24th Mei , 2018

Afisa Uhamiaji mkoa wa DSM,Chrispine Ngonyani amebainisha raia kutoka nchi ya Ethiopia wamekuwa wakiwasumbua idara ya uhamiaji nchini kwani kila mara wanapokamatwa wahamiaji haramu wao huwa ni wengi zaidi.

Bw. Ngonyani amezungumza hayo wakati akitoa taarifa za utendaji kazi wa idara hiyo kwa wanahabari ambapo amesema kuwa tatizo la raia kutoka Ethiopia siyo  tu kwa uhamiaji Dar es salaam bali nchi nzima wanakumbana nalo.

"Raia wa Ethiopia wanatusumbua sana yaani kila tukikamata watuhumiwa kwa wingi, basi unakuta ni waethiopia ambao hawapungui 50 hadi 80 hilo ndo kundi la watu wanaotusumbua sana Idara ya Uhamiaji mkoa wa Dar es salaam" amesema.

Pamoja na hayo Bw. Ngonyani ameeleza kuwa idara hiyo kwa kipindi cha mwezi Januari 2018 hadi Mei 24, 2018 wameafanikiwa na kuwafikisha mahakamani watuhumiwa 602 ambapo kari yao watuhumiwa 227 walikuwa raia wa Ethiopia na kati ya mashauri 118 yaliyofunguliwa Mahakama ya Kisutu raia wa Ethiopia walikuwa 214 na kati ya mashauri yaliyomalizika yalikua 99 na kati ya watuhumiwa 341 raia wa Ethiopia walikuwa 218.

Mbali na hayo Afisa huyo amesema Idara imefanikiwa kuingiza faini ya shilingi Milioni 121.5 na kati watuhumiwa waliofungwa ni 187 na mashauri yanayoendelea mahakamani ni 73 huku raia 28 wakupewa oda ya kurudishwa kwao.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava