Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Viongozi wa dini kutoa elimu ya haki za binadamu

Ijumaa , 30th Sep , 2022

Viongozi wa dini nchini wametaka elimu kuhusu masuala ya haki za binadamu kuwafikia zaidi wananchi katika ngazi ya familia, ili kupunguza kukithiri kwa matukio ya ukatili na uvunjifu wa haki za binadamu nchini.

Viongozi wa madhehebu mbalimbali nchini

Hayo yamebainishwa Wakati wa kikao cha viongozi wa dini zote kilichoenda sambamba na uzinduzi wa  kitabu kitakacho kuwaelimisha watu kuhusu umuhimu wa haki za binadamu huku  Askofu Mkuu wa Monnonite Nelson Kisare akitaka viongozi wa dini katika jamii zao kuzijua sheria na haki za binadamu ili waweze kutoa zaidi elimu kwa wananchi wanaowaongoza.

Aidha viongozi hao Wamekemea baadhi ya viongozi wa dini na viongozi wengine kwenye jamii ambao wamekuwa wakifanya vitendo vya ukatili na uvunjifu wa haki za binadamu, huku Mwenyekiti wa Halmashauri Kuu Bakwata Sheik Khamis Mataka akitaka nao wawajibishwe na sheria zilizowekwa.

Kwa upande wao Mratibu wa Mtandao wa watetezi Haki za binadamu Onesmo Ole Ngurumo  Tanzania ametaka jamii kwa ujumla kushikamana katika kupinga uvunjwaji wa haki za binadamu, na kuacha kuwaachia wanaharakati pekee kupambania watu kupata haki zao, akihimiza watoto pia kufundishwa kuzijua haki za binadamu.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava