![](http://eatv.tv/sites/default/files/styles/mobilelisting/public/news/2024/10/18/kayoko-pic.jpg?itok=oKixedDp×tamp=1729250002)
Bodi ya ligi kuu Tanzania bara imemtangaza Ramadhani Kayoko kusimamia sheria kumi na saba kwenye mchezo wa Dabi ya Kariakoo mchezo unaozikutanisha timu za Simba SC dhidi ya Yanga SC katika uwanja wa Benjamini Mkapa. Mchezo huo mkubwa nchini Tanzania na Afrika ya Masharaiki utachezwa kesho Jumamosi saa 11:00 jioni. Watakaomsaidia Kayoko ni Mohamed Mkono kutoka Tanga na Kassim Mpanga huku Tatu Malogo atakuWa Muamuzi wa mezani.
18 Oct . 2024
![](http://eatv.tv/sites/default/files/styles/mobilelisting/public/news/2024/10/18/ww.jpg?itok=gctR4zDZ×tamp=1729271324)
Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania
17 Oct . 2024
![](http://eatv.tv/sites/default/files/styles/mobilelisting/public/news/2024/10/17/GACHAGUA.jpg?itok=9Tzlhimc×tamp=1729180128)
Naibu Rais wa Kenya Rigathi Gachagua
17 Oct . 2024