Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ukosefu wa ajira wafungua wasomi kwenye fursa mpya

Jumatatu , 21st Sep , 2020

Wakati vijana wengi wasomi wakiendelea kuhangaika na ajira rasmi katika taasisi na kampuni wapo wengine walioona fursa katika ujasiriamali licha ya changamoto ya masoko na mitaji.

EATV imekutana na kikundi cha wasichana watatu ambao wote ni wahitimu wa vyuo mbalimbali Jijini Dar es Salaam baada ya kukosa ajira zinazoendana na taaluma yao wakaamua kuungana na kufanya ujasiriamali wa uuzaji wa bidhaa za nguo, viatu na vito vya thamani.

“Sisi tulianza kidogo kidogo kuanzia chuoni na hii ilitokana na wengi waliotupiata madarasa kuzidi kulalamikia kukosa ajira mtaani, tumejiendeleza mpaka sasa hivi hatuwezi kulalamika kwakweli yinayaona mafanikio”alisema Liliani Ludovick mjasiriamali

Licha ya kuanza biashara hiyo ambayo kwa kipindi kirefu wamekuwa wakifanya kwa njia ya mtandao wanasema suala la mitaji na mwamko kutoka kwa wazazi kukubali wao kufanya biashara limekuwa ni changamoto kubwa huku wakitoa wito kwa wasomi wengine kuchangamkia fursa zilizopo.

“Kiukweli wazazi mwanzoni hawakupendezwa na jambo hili haswa baada ya kuwa na mategemeo makubwa katika masomo yetu wakitegemea kuwepo katika ajira rasmi, ila baadae walielewa na sasa wanatupa motisha kusonga mbele tunaamini ipo siku tutamiliki maduka makubwa “ alisistiza Marietha Mbunda

 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava