Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Tuzo za EJAT kutolewa baada ya Covid 19

Jumatatu , 7th Sep , 2020

Tuzo za umahiri wa Uandishi wa Habari Tanzania (EJAT) mwaka 2020 zimechelewa kutokana na kuwepo kwa ugonjwa unaosababisha homa ya mapafu wa Covid 19 ambao ulisababisha kuzuia mikusanyiko.

Katibu Mtendaji wa Baraza la Habari Tanzania (MCT) Kajubi Mukajanga akizungumza na waandishi wa habari hawapo pichani.

Kufuatia mlipuko huo sherehe hizo ziliahirishwa mara mbili ambayo pia imesababisha changamoto katika ukusanyaji wa rasilimali fedha.

Hayo yameelezwa na Katibu Mtendaji wa Baraza la Habari Tanzania (MCT) Kajubi Mukajanga wakati wa kuwaapisha majaji watakaozipitia kazi ziizowasilishwa kwaajili ya kushindanishwa.

“Jumla ya kazi 450 zimewasilishwa kushindanishwa katika makundi 21 ya Tuzo za Umahiri wa Uandishi wa Habari Tanzania (EJAT) 2019”, amesema Kajubi.

Akizungumza baada ya kuwaapisha majaji wateule, mwenyekiti wa kamati ya maadili ya MCT, Jaji Mstaafu Juxon Mlay amewataka kufanya kazi hiyo kwa uadilifu ili kuwe na ushindani utakaoleta tija katika tasnia ya Uandishi wa Habari.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava