Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Thamani ya Lissu haielezeki- Mbowe

Jumatatu , 11th Sep , 2017

Ikiwa zimepita siku kadhaa tokea lilipotokea tukio la kupigwa risasi Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu na watu wasiojulikana, Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe amefunguka na kudai thamani ya Lissu ni kubwa kuliko kiwango chochote cha fedha.

Mbowe amebainisha hayo kupitia taarifa yake aliyoitoa kwa vyombo vya habari na kuelezea mambo mengi kuhusiana na Lissu pamoja na likiwepo la gharama za matibabu ya kumtibia mwanasheria wao mkuu wa chama chao Mhe. Lissu.

"Mhe. Lissu ameumizwa sana, tena sana, ni ukweli usiopingika kuwa miujiza ya Mungu ni mikubwa hata kuweza kumuokoa katika bonde la mauti. Kutokana na ukweli huu, matibabu yake vilevile ni maalum na yanayohitaji wataalam wengi, vifaa tiba maalum na gharama kubwa. Hadi sasa zaidi ya shillingi millioni 100 zimeshatumika kuokoa maisha ya ndugu yetu Lissu", amesema Mbowe

Pamoja na hayo, Mbowe ameendelea kwa kusema "thamani ya Lissu, ni kubwa kuliko kiwango chochote cha fedha. Kila njia iliyo halali itatumika kupata fedha za kutosha kumtibu Mhe. Na hatimaye kumrudisha kwenye uwanja wa kudai haki, demokrasia na ustawi kwa wote nchini Tanzania", amesisitiza Mbowe.

Kwa upande mwingine, Mbowe amewashukuru watanzania kwa ujumla kwa namna wanavyoendelea kujitoa katika kumuombe Lissu huku akiwasisitizia wasiache kufanya hivyo.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava