Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Tasnia ya Habari yakumbukwa uteuzi wa Rais

Jumapili , 20th Jun , 2021

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi wa Wakuu wa Wilaya zote nchini, ambapo katika teuzi hizo amegusa tasnia mbalimbali.

Pichani, Kulia ni Abdallah Mwaipaya wa ITV Mkuu wa Wilaya mteule wa Mwanga mkoani Kilimanjaro pamoja na Fatma Nyangasa ambaye pia ni Mkuu wa Wilaya mteule wa Kigamboni jijini Dar es Salaam.

Katika Tasnia ya Habari Rais amewateua Waandishi wa Habari mbalimbali. Miongoni mwa walioteuliwa ni Abdallah Mwaipaya wa ITV kuwa Mkuu wa Wilaya ya Mwanga mkoani Kilimanjaro.

Pia yupo Fatma Nyangasa wa Azam TV kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni mkoani Dar es salaam, Gabriel Zakaria wa TBC kuwa Mkuu wa Wilaya ya Busega na Simon Simalenga wa Clouds kuwa Mkuu wa Wilaya ya Songwe.

Aidha wapo wanahabari ambao walikuwa tayari ni Wakuu wa Wilaya na wameteuliwa kuendelea ila wakibadilishiwa vituo vya kazi ambao ni Godwin Gondwe aliyehamishiwa Kinondoni kutoka Temeke na Jerry Muro aliyehamishiwa Ikungi Singida kutoka Arumeru.

Zaidi soma orodha kamili hapo chini.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava