Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Tanzania yakanusha taarifa za kuwekewa vikwazo

Ijumaa , 20th Nov , 2020

Balozi wa Tanzania nchini Ubelgiji Jestus Nyamanga, amekanusha taarifa za kuwa Bunge la Umoja wa Ulaya limeazimia kuifutia Tanzania msaada wa Euro Milioni 626 kitu ambacho siyo ukweli na kusema kuwa hakuna majadiliano yoyote yanayoendelea kwa ajili ya kuiwekea Tanzania vikwazo.

Balozi wa Tanzania nchini Ubelgiji, Jestus Nyamanga.

Kauli hiyo ameitoa mara baada ya taarifa kusambaa mitandaoni kwamba Bunge hilo limeazimia kuiwekea vikwazo hivyo Tanzania jambo ambalo halina ukweli wowote, ambapo ameongeza kuwa uhusiano kati ya Tanzania na Umoja wa Ulaya ni mzuri sana.

"Kikao kilichofanyika leo ni kikao cha kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje na siyo cha Bunge lote la Umoja wa Ulaya na hata kikao hicho hakikutoa azimio lolote kuhusu Tanzania, na ni wabunge watano tu walitoa mawazo yao kati ya wabunge 71 wa kamati hiyo ya Mambo ya Nje, taarifa zinazoenezwa siyo za kweli na zinafanywa na watu wenye nia mbaya na Tanzania", amesema Balozi Jestus Nyamanga.
 

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava