Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

TAKUKURU yahamia shuleni

Jumatano , 6th Dec , 2017

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini, TAKUKURU, inajiandaa kuanza kutoa elimu ya madhara ya rushwa kuanzia ngazi ya shule ili kuandaa Taifa la baada ye lenye rushwa.

Hayo yamebainishwa leo na Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU, Valentino Mlowola, wakati wa uzinduzi wa utoaji wa huduma kwa umma mjini Dodoma ambapo amesema taifa lolote duniani lenye rushwa halina amani kwa sababu ya wananchi kutofuata utaratibu na sheria za nchi.

“Ili kuwa na taifa la baadaye lisilo na rushwa, TAKUKURU tunajikita kuwekeza nguvu kwa watoto kwa kutoa elimu ya kupambana na rushwa ili kuongeza kasi kubwa ya maendeleo ya nchi na jamii ishiriki katika elimu hii”, amesema Mlowola.

Naye Katibu Tawala Msaidizi Mkoa wa Dodoma, Emmanuel Kuboja akizungumza kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Dk. Binilith Mahenge, amesema  serikali ya Tanzania imedhamiria kuidhiirishia dunia kwamba, itasimamima kwa vitendo dhana na misingi ya uadilifu, haki za ubinadamu, uwajibikaji, utawala bora na mapambano dhidi ya rushwa.

Kwa upande wa Jeshi la Polisi, Kamishina Msaidizi wa Polisi, Philip Kalangi, amesema dhamira ya Jeshi la Polisi ni kuhakikisha vitendo vya rushwa vinatokomezwa kwenye jamii na raia wote kuishi kwa haki na usawa.

HABARI ZAIDI

Katibu wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa

Maandamano yetu sio kelele za wahuni - Golugwa

Nyumba ambayo mwili wa mwanaume ulikaa hadi kuharibika

Mke aishi na maiti ya mumewe akiamini atafufuka

Ofisa wa idara ya manunuzi na mikataba akimpatia maelezo mmoja wa wananchi wawaliojitokeza kutembelea banda la GGML katika maonesho ya OSHA na kujifunza namna kuzingatia usalama katika shughuli zao za kila siku.

GGML yaja na teknolojia za kisasa za uokoaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan

Rais Samia asema CDF mwanamke atapatikana 2030

Mratibu wa idara ya dharura (ERT) kutoka GGML, Mohamed Mwaimu akimuonesha mama lishe namna ya kuzima moto wakati inatopokea mtungi wa gesi unapopata hitilafu na kulipuka. Mafunzo hayo yametolewana GGML kwa kushirikiana na OSHA kwa akina mama lishe 50 wa mkoani Arusha.

Mama lishe wafundishwa kulikabili janga la moto

Picha ya AY kulia na Mr II Sugu kushoto

AY Starring wa muziki wa BongoFlava